Home » » KATIBU MKUU WA NISHATI NA MADINI ELIAKIM MASWI AFANYA ZIARA KWENYE MRADI WA BOMBA LA GESI MKOANI LINDI‏

KATIBU MKUU WA NISHATI NA MADINI ELIAKIM MASWI AFANYA ZIARA KWENYE MRADI WA BOMBA LA GESI MKOANI LINDI‏


      
Picha Na. 1
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Eliakim Maswi akisalimiana na wafanyakazi wa mradi wa bomba la gesi huko Kilwa.Katibu Mkuu wa Nishati na Madini Eliakim Maswi alifanya ziara kwenye mradi wa bomba la gesi katika mikoa ya Lindi na Mtwara  mwishoni mwa wiki. Picha Na. 2Mtaalamu mwelekezi kutoka katika kampuni ya Worley Parsons,  Pieter Erasmus akitoa maelezo  kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya  Nishati na M adini, Eliakim Maswi jinsi uunganishaji wa bomba la gesi unavyofanyika. Picha Na. 3Wafanyakazi  wakiendelea na kazi ya uchomeaji wa bomba la gesi. Picha Na. 4
Kazi ya uunganishaji wa bomba la gesi  ikiendelea Picha Na. 5
Katibu Mkuu wa Wizara ya  Nishati na Madini Eliakim Maswi akizungumza na waandishi wa habari juu ya hatua iliyofikiwa ya ujenzi wa bomba la gesi ikiwa ni pamoja na ukamilishwaji wake.

0 comments:

 
Supported by Tone multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Lindi Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa