Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Eliakim Maswi akisalimiana na wafanyakazi wa mradi wa bomba la gesi huko Kilwa.Katibu
 Mkuu wa Nishati na Madini Eliakim Maswi alifanya ziara kwenye mradi wa
bomba la gesi katika mikoa ya Lindi na Mtwara  mwishoni mwa wiki.  Mtaalamu
 mwelekezi kutoka katika kampuni ya Worley Parsons,  Pieter Erasmus
akitoa maelezo  kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya  Nishati na M adini,
Eliakim Maswi jinsi uunganishaji wa bomba la gesi unavyofanyika.
Mtaalamu
 mwelekezi kutoka katika kampuni ya Worley Parsons,  Pieter Erasmus
akitoa maelezo  kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya  Nishati na M adini,
Eliakim Maswi jinsi uunganishaji wa bomba la gesi unavyofanyika.  Wafanyakazi  wakiendelea na kazi ya uchomeaji wa bomba la gesi.
Wafanyakazi  wakiendelea na kazi ya uchomeaji wa bomba la gesi. 
Katibu
 Mkuu wa Wizara ya  Nishati na Madini Eliakim Maswi akizungumza na
waandishi wa habari juu ya hatua iliyofikiwa ya ujenzi wa bomba la gesi
ikiwa ni pamoja na ukamilishwaji wake.
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment