Mkuu
 wa Mkoa wa Lindi Bw.Ludovick Mwananzila (katikati) akizungumza 
na Mkurugenzi mkuu wa kiwanda cha MEIS Bwana Merey Balhabou (kushoto) 
pamoja na meneja wa bandari ya Mtwara Bw. Absalom Bohela wakati wa 
sherehe ya kupokea shehena ya pili ya mitambo ya Ujenzi wa kiwanda cha 
Sementi cha MEIS mkoani Mtwara. 
Mkurugenzi
 mkuu wa kiwanda cha Sementi cha MEIS. Merey Balhabou (kushoto) 
akifafanua jambo kwa mkuu wa mkoa wa Lindi Bw. Ludovick Mwananzila 
pamoja na walikwa walio hudhuria sherehe kupokea shehena ya pili ya 
mitambo ya ujenzi wa kiwanda cha Sementi mkoani Lindi mitambo hiyo 
imewasili katika bandari ya Mtwara ikitokea nchini China.
Meli iliyobeba mitambo hiyo ikiishusha kwenye Bandari ya Mtwara.
Malori yakiwa kwenye foleni ya kupakia Mitambo hiyo.
(Picha na Chris Mfinanga).  
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment