Home » » PPF KATIKA MAONYESHO YA NANENANE LINDI

PPF KATIKA MAONYESHO YA NANENANE LINDI


ZA1 
Afisa   uhusiano mwandamizi  wa  mfuko wa Pensheni  wa PPF  Janet  Ezekiel akitoa  maelezo  kwa  mkuu wa mkoa wa Lindi Godfrey Zambi shughuli zinazofanya  na mfuko  ikiwemo faida ya  kujiunga  na   mfuko wa wote Scheme wakati  alipokuwa  anatembelea  banda la  mfuko huyo jana
ZA2 
Mfuko wa  Pensheni  wa PPF umeshiriki   maonesho ya  nane nane  yanayofanyika kitaifa Viwanja vya  Ngongo  Manispaa  ya Lindi   ambayo  yamefunguliwa  na  waziri  wa Nishati na  Madini Sospeter Muhongo  kwa  niaba ya  Makamu  wa rais Samia  Suluhu  yenye   kauli mbinu KILIMO MIFUNGO NA UVUVI  NI NGUZO YA  MAENDELEO  VIJANA SHIRIKI KIKAMILIFU HAPA KAZI TU. Kupitia  fursa hiyo  ya  maonyesho  hayo PPF  inakutana na wadau  mbalimbali  kueleza  huduma zinazotolewa   na shirika hilo  ikiwemo  WOTE SCHEME  mfumo  wa  maalumu  wa  kuchangia unazihusisha  sekta  isiyo  rasmi pamoja  na ule  mfumo  wa ziada  kwa sekta iliyo rasmi

0 comments:

 
Supported by Tone multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Lindi Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa