Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Waziri
wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh William Lukuvi akisalimiana
na watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi mara baada ya kuwasili
mkoani humo kwa ziara ya siku mbili amapo atasikiliza na kutatua
migogoro ya ardhi katika maeneo mbalimbali yenye migogoro katika mkoa
huo.
Mkuu
wa Mkoa wa Lindi Mama Mwantum Mahiza akitoa taarifa fupi ya utekelezaji
wa Miradi mbalimbali ya Maendeleo katika mkoa huo kwa Waziri wa Ardhi
Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh William Lukuvi mara baada ya Waziri Lukuvi kuwasili mkoani humo kwa ziara ya kikazi ya siku mbili.
Waziri
wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh William Lukuvi akijadiliana
jambo na Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mama Mwantum Mahiza muda mfupi baada ya
Mama Mahiza kutoa taarifu fupi ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya
maendeleo mkoani humo
Waziri
wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh William Lukuvi akijadiliana
jambo na Mkurugenzi wa shirika la nyumba la Taifa Mkoa wa Lindi Bw Mussa
Patric Kamenda badaa ya mkurugenzi huyo kutoa taarifa kwa Mheshimiwa
Waziri jinsi shirika hilo linanvyotekeleza miradi mbalimbali katika mkoa
huo.
Waziri
wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh William Lukuvi (kulia)
akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mama Mwantum Mahiza (kushoto)
kuhusu ujenzi wa nyumba unaofanywa na Shirika la nyumba la Taifa mkoani
Lindi. Katikati ni mfanyabiashara wa mkoa wa Lindi Bw Kassim Abdallah
ambaye amenunua mojawapo nyumba ambazo zimejengwa na shirika la nyumba
la Taifa.
Waziri
wa ArdhiNyumba na Maendeleo ya Makazi Mh William Lukuvi akitoa
malelekezo kwa Bwana Mussa Patric Kamenda Mkurugenzi wa shirika la
nyumba la Taifa Mkoa wa Lindi namna bora ya kutumia viwanja kwa ujenzi wenye manufaa kwa kulunufaisha shirika hilo.
Picha na Clarence Nanyaro.
0 comments:
Post a Comment