Home » » Viongozi wa Dini Mikoa ya Lindi na Mtwara kuhudhuria mafunzo ya gesi asilia na mafuta nchini Thailand

Viongozi wa Dini Mikoa ya Lindi na Mtwara kuhudhuria mafunzo ya gesi asilia na mafuta nchini Thailand

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu Wizara ya Nishati, Bw.Mrimia Mchomvu (kushoto) akiongea na Viongozi wa Dini kutoka mikoa ya Lindi na Mtwara waliofika Makao Makuu ya Wizara ya Nishati na Madini, kabla ya kuanza ziara ya mafunzo ya gesi asilia na Mafuta nchini Thailand.Kushoto kwa Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu ni Mkurugenzi Msaidizi, Idara ya Sera na Mipango katika Wizara ya Nishati na Madini, Bw. Maseke Mabiki. 

KUSOMA KWA KINA BOFYA HAPA

0 comments:

 
Supported by Tone multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Lindi Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa