Home » » Diwani wa kata ya Kikole Mkoani Lindi anusurika katika ajali.

Diwani wa kata ya Kikole Mkoani Lindi anusurika katika ajali.



Gari walilokuwa wakisafiria Wadau hao likiwa limepinduka huku huzuni ikitawala katika eneo hilo.

Mwandishi wa Habari wa Gazeti la Mwananchi,Mwanja Ibadi pamoja na Diwani wa kata ya Kikole,Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa,Mkoani Lindi,Haji Mulike wamenusurika kupoteza maisha katika ajali waliyoipata,wakiwa njiani kuelekea Wilayani Nachingwea,kwa shughuli za kikazi.Katika ajali hiyo mtu mmoja alipata majeraha Madogo.
Picha na Abdullaziz Video

0 comments:

 
Supported by Tone multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Lindi Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa