Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 
 Kwa uchafu huu sijui hawa wazoa Taka wako wapi
 Taka ni nyingi sana 
 Sasa hapa sielewi taka zinatakiwa ingia ndani ya hicho kibanda ama inakuwaje
 Sasa hapa huyu jamaa afya yake itakuwaje
Hii ni Lindi yetu Blog kupitia Blogs za Mikoa
 




 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment