Home » » Ziara ya Mkurugenzi wa Mauzo na Masoko wa NHC Lindi

Ziara ya Mkurugenzi wa Mauzo na Masoko wa NHC Lindi

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Lindi Patrick Mussa Kamendu akimpa taarifa ya hali ya mauzo na masoko na utekelezaji wa miradi ya shirika la nyumba la taifa katika mkoa wake kwa Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa alipokuwa katika ziara ya NHC mkoa wa Lindi kufuatilia utekelezaji wa miradi hiyo mikoani.
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Lindi Patrick Mussa Kamendu akiongozana na Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa alipokuwa kwenye mradi wa nyumba za gharama nafuu Mtanda Lindi, katika ziara ya NHC mkoa wa Lindi kufuatilia utekelezaji wa miradi hiyo mikoani.
Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa akishuhudia jambo katika mojawapo ya nyumba za gharama nafuu za Mtanda, Lindi kwenye mradi wa nyumba za gharama nafuu Mtanda Lindi.
Nyumba za gharama nafuu za NHC Mtanda, Lindi linavyoonekana katika picha.
Nyumba za gharama nafuu za Mtanda, Lindi linavyoonekana katika picha.
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Lindi Patrick Mussa Kamendu akimweleza jambo Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa alipokuwa kwenye ziara ya mradi wa nyumba za gharama nafuu Mtanda Lindi.

0 comments:

 
Supported by Tone multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Lindi Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa