Home » » ZIARA YA MKURUGENZI MKUU WA NHC MKOANI LINDI

ZIARA YA MKURUGENZI MKUU WA NHC MKOANI LINDI

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

1 (2)
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akiwasili katika ofisi za NHC Lindi.
2 (1)
Meneja wa Lindi Mussa Patrick  Kamendu akitoa taarifa ya mkoa wa Lindi kwa Mkurugenzi Mkuu.
3 (1)
 Mkurugenzi Mkuu Nehemia Kyando Mchechu akiongea na wafanyakazi wa Lindi pamoja na wakurungezi alioongozana nao katika ziara hiyo pia aliwapongezza wafanyakazi kwa kazi nzuri wanayoifanya kaika mkoa huo.
4 (1)
 Mkurugenzi Mkuu Nehemia Kyando Mchechu akitoa ufafanuzi baada ya kuona sehemu utakaojengwa Mradi wa Mtanda phase 2.
6 (1)
 Mkurugenzi Mkuu Nehemia Kyando Mchechu, pamoja na timu aliyoongozana nayo wakionyeshwa ramani  ya eneo ambalo halmashauri inawashawishi wananchi walipwe fidia ndogo ili shirika liweze kujenga nyumba za gharama nafuu.
7 (1)
Eneo hilo lina viwanja vitano vyenye ukubwa tofauti ,mathalan Kiwanja No.9 kitalu A kina ukubwa wa meta mraba 30,465.Ambazo ni sawa na ekari saba. Masoko Pwani Kilwa Masoko.
8 (1)
Meneja wa Lindi Bw, Patrick akionyesha eneo lililonunuliwa na shirika maeneo ya Tipuli mkoani Lindi lenye ukubwa wa ekari 10.
9
 Katika ziara yake Mkurugenzi Mkuu alikuja kuimalizia katika kukagua matengenezo ya nyumba kwa mfano, alikagua Ukumbi wa kisasa kiwanja Na.23-25/B Mjini Lindi.

0 comments:

 
Supported by Tone multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Lindi Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa