Home » » MAGARI YAKWAMA KWENYE BARABARA YA SOMANGA - NYAMWAGE MKOANI LINDI BAADA YA MVUA KUNYESHA

MAGARI YAKWAMA KWENYE BARABARA YA SOMANGA - NYAMWAGE MKOANI LINDI BAADA YA MVUA KUNYESHA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.  


Msululu wa mabasi ya abiria na malori yakiwa hayajui hatma ya safari yao baada ya kukwama katika kijiji cha Sinza katikati ya Somanga - Nyamwage mkoani Lindi, kutokana na barabara wanayoitumia kupatwa na uharibifu mkubwa uliotokana na mvua kubwa za masika zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbali mbali hapa nchini.

Eneo hili lenye urefu wa kilometa 14,ndio eneo korofi sana kwenye barabara hii kuu itokayo Mtwara,Lindi mpaka Dar es Salaam.Picha na Mdau Paul Marenga,Lindi.





Katapila likifanya maarifa ya kufanikisha magari hayo kupita.


Msururu bado ni mkubwa sana.

0 comments:

 
Supported by Tone multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Lindi Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa