Home » » MKUTANO WA KATIBA MKOANI LINDI

MKUTANO WA KATIBA MKOANI LINDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Lindi Bw. George Mwakajinga (58) akitoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya katika mkutano ulioitishwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba mjini Lindi hivi karibuni.
Askari Polisi wa mkoani Lindi Bi. Happyfania Gibson (24) akitoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya katika mkutano ulioitishwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba hivi karibuni wilyani humo.
Wananchi wa kijiji cha Mihumo, wilayani Lindi wakifuatilia mkutano ulioitishwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba hivi karibuni ili kukusanya maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya.


0 comments:

 
Supported by Tone multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Lindi Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa